Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji

MAMLAKA YA MAJISAFI NA USAFI WA MAZINGIRA TANGA

(Tanga UWASA)

TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
/ Dira na Dhamira

Dira na Dhamira

DIRA

Kuwa Mamlaka ya kiwango cha kimataifa katika kumjali mteja kwenye utoaji wa huduma za usambazaji majisafi na usafi wa mazingira.

DHAMIRA

Kutoa huduma bora ya majisafi na usafi wa mazingira katika eneo la huduma kwa njia inayokubalika kimazingira na kwa kutumia watumishi wenye ari ya kazi na dhima ya kumjali mteja.

MAADILI YA UTENDAJI KAZI

Kumjali Mteja

Uwajibikaji

Ushirikiano

Uthamini wa Mazingira

Dhamana