Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji

MAMLAKA YA MAJISAFI NA USAFI WA MAZINGIRA TANGA

(Tanga UWASA)

TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
/ Kanusho

Kanusho

Taarifa iliyo kwenye tovuti hii haipaswi kuonyeshwa isipokuwa katika umbo la skrini nzima.

Tanga UWASA inaweza kukuunganisha kwenye tovuti za nje za serikali na zisizo za serikali, isipokuwa
kama itaelekezwa vinginevyo;
1. Tanga UWASA haihusiani au kuhusishwa na umiliki au uendeshaji wa tovuti ya wahusika wengine; na
2. Ikiwa una maswali yoyote kuhusu maudhui yaliyomo kwenye tovuti ya Tanga UWASA, tafadhali
wasiliana nasi.