Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji

MAMLAKA YA MAJISAFI NA USAFI WA MAZINGIRA TANGA

(Tanga UWASA)

TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
/ Faqs

Ninatoaje taarifa juu ya uvujaji wa maji?

Imewekwa: 27 December, 2024

Kuna namna nyingi ya kuweza kutufikia ili kutoa taarifa za uvujaji na masuala mengine kama ifuatavyo:

  1. Unaweza kutoa taarifa juu ya kuvuja maji, kuziba kwa mtandao wa majitaka, na wizi wa maji kwa kupiga namba za bure 0800110111
  2. Unaweza kutoa taarifa kwa kufika ofisi za Tanga UWASA zilizo karibu nawe.
  3. Unaweza kutoa taarifa kwa mtumishi yeyote wa Tanga UWASA kuhusu suala au tatizo lolote linalokutatiza