Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji

MAMLAKA YA MAJISAFI NA USAFI WA MAZINGIRA TANGA

(Tanga UWASA)

TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
/ News

KANDA ZA KIHUDUMA ZA TANGA UWASA

Imewekwa: 05 March, 2026
KANDA ZA KIHUDUMA ZA TANGA UWASA

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Tanga (TangaUWASA) inapenda kuwajulisha kuwa imeanzisha utartibu wa kutoa huduma kupitia kanda (maeneo) lengo kuu ikiwa ni kurahisisha utoaji huduma na mawasiliano kati ya taasisi na wateja pmoja na wadau wake, hivyo kiambatanishi kimeainisha Kanda za kihuduma, maeneo yanayohudumiwa na kanda hiyo na mawasiliano ya msimamizi wa kanda