Mradi wa Maji wa EACOP Chongoleani na Muheza
Imewekwa: 06 October, 2024
Mradi unalenga kuboresha hali ya upatikanaji huduma ya maji Chongoleani na Kitisa Muheza kupitia ufadhili wa wawekezaji katika mradi wa kusafirisha mafuta ghafi (EACOP) , ambapo kazi kuu inayotekelezwa ni Ulazaji wa mabomba na kuunganisha wateja na huduma ya majisafi kwa thamani ya Shilingi Bilioni 2.9.

